AJALI MBAYA YA BASI YATOKEA KAHAMA

AJALI MBAYA YA BASI YATOKEA KAHAMA Hivi ndiyo basi la wibonela lilivyoacha njia mjini kahama huku ikiwa imelala ubavu KAHAMA. Watu wanne wamekufa papo hapo na wengine arobaini kujeruhiwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga baada ya kutokea ajari mbaya iliyohusha basi la abiri. Tukioa hilo lilitokea jana majira ya saa Kumi na mbili asubuhi katika eneo la Phantom Nje Kidogo mwa mji wa Kahama,wakati basi aina ya Scania lenye no T 412 CGN mali ya Wibonela Ambalo lilikuwa likitokea mjini Kahama kwenda jijini Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka. Kwa mjibu wa Mganga Mfawidhiwa Hospitali ya mji wa Kahama Joseph Ngowi alisema walikufa kati yao wanaume ni 3 akiwemo mtoto na mwamke ni Mmoja ambapo aliataja kuwa ni Amina Emmanuel ambaye alikuwa mjamzito mkazi wa Kigoma, Salum ambaye alifahamika kwa jina moja , Mtoto wa miezi mitatu Robin Jordan na mwanamme mmoja mabaye hakufahamika. Aliataja waliojeruhiwa ni Mauld Shab...