Posts

Showing posts from January, 2015

BREAKING NEWS: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO AJIUZULU

BREAKING NEWS: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO AJIUZULU TAARIFA ambazo mtandao wa Thehabari.com umezipata ni kwamba Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo ameamua kujiuzulu nafasi yake. Profesa Muhongo ametangaza hatua hiyo leo asubuni alipokuwa akizungumza na waandishi wa habarimakao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.akitangaza kujiunzulu mbele ya waandishi wa habari mapema leo Jumamosi Januari 24, 2015 makao makuu ya wizara ya Nishati na Madini, jijini Dar es Salaam Waziri wanishati na Madini, Profesa sospeter Muhongo, ametangaza kujiuzulu kutoka wadhifa huo mapema leo Jumamosi Januari 24, 2015. Waziri huyo mtaalamu wa miamba, amejiuzulu kufuatia shinikizo la mudamrefu la kumtaka afanye hivyo au awajibishwe, kufuatia mapendekezo ya bunge lililopita, lililoiagiza Serikali kuchukua hatua dhidi ya viongozi wote na watendaji waliohusika na kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow iliyobainisha kiasi cha fedha bilioni 302 kucho...

UTEUZI WA KAMATI MBALIMBALI ZA JUMUIYA YA KCMC MUSLIM ASSOCIATION

Image
Uteuzi wa kamati mbalimbali ya jumuiya ya kcmc muslim association  bonyeza hapa kuangalia

Celebrating the Birthday of the Prophet

Image
Celebrating the Birthday of the Prophet book click here to download

MASJID SHEIKH AL ANSWAR

Image
ASSALAAM ALEYKUM WARAHMATULLAH WABARAKAATUH Natumahi ndugu zangu ktk imani ni wazima hapo mlipo poleni sana na majukuumu ALLAH awape nguvu katika kuyaendea. Sisi kama wanajumuiya ya wanafunzi wa kiislamu CHUO KIKUU CHA MWENGE tunayofuraha na majivuno ya kuwepo kwa nyumba ya ALLAH (msikiti) hapa chuoni ambayo jitihada kubwa ya kusimama kwake imetokana na umoja na ushirikiano wa wanajumuiya wa hapa chuoni pia tukishirikiana kwa kiasi kikubwa na jumuiya ya vyuo mbalimbali kama KCMCo, MUCCobs, SMMUCO(All campus),n.k pamoja na misikiti mbalimbali hapa MOSHI manispaa na wilaya zingine pamoja na waislamu. Mkurugenzi wa AFRICAN MUSLIM AGENCY, alitusaidie sana pia ktk kuliendea hili suala kutokea mwanzo mpaka msikiti unasimama,,, Picha zitaonesha ktk kiambatanisho tokea harakati kuanza hadi hivi sasakukamilika kwake''' Dhumuni kubwa la kutuma email ni kutoa shukrani kwani mnamo tarehe 30/11/2014 jumapili asubuhi tuliweza kufanyaa uzinduzi wa msikiti huu(MASJID SHEI...