Posts

Muswada wa Mahakama ya Kadhi Waondolewa Bungeni

Image
Muswada wa Sheria ya kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi Tanzania Bara hautajadiliwa katika mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma baada ya serikali kuuondoa kwa maandalizi zaidi. Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, alisema jana usiku kuwa wameamua kuuondoa muswada huo ili kupata fursa ya kutoa elimu zaidi kwa viongozi wa dini na kuufanyia marekebisho baadhi ya maeneo.Alisema serikali inatarajia kuurejesha tena bungeni mwezi ujao. Hata hivyo, habari za uhakika kutoka Dodoma zinasema kuwa kulikuwa na mvutano mkali ndani ya kamati ya Bunge iliyokuwa inashughulikia muswada huo uliokuwa kwa misingi ya imani hivyo busara ilitumika kuahirishwa uwasilishwaji kwa mara ya pili kwani mjadala kwenye Bunge zima ungeweza kuleta mpasuko. Muswada huo ulikuwa unawasilishwa kutokana na ahadi ya serikali kwenye Bunge Maalum la Katiba ambako mjadala ulikuwa mzito baadhi ya wajumbe wakitaka mahakama ya kadhi iin...

BREAKING NEWS: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO AJIUZULU

BREAKING NEWS: WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROF. MUHONGO AJIUZULU TAARIFA ambazo mtandao wa Thehabari.com umezipata ni kwamba Waziri wa Nishati na Madini,Profesa Sospeter Muhongo ameamua kujiuzulu nafasi yake. Profesa Muhongo ametangaza hatua hiyo leo asubuni alipokuwa akizungumza na waandishi wa habarimakao makuu ya Wizara ya Nishati na Madini jijini Dar es Salaam.akitangaza kujiunzulu mbele ya waandishi wa habari mapema leo Jumamosi Januari 24, 2015 makao makuu ya wizara ya Nishati na Madini, jijini Dar es Salaam Waziri wanishati na Madini, Profesa sospeter Muhongo, ametangaza kujiuzulu kutoka wadhifa huo mapema leo Jumamosi Januari 24, 2015. Waziri huyo mtaalamu wa miamba, amejiuzulu kufuatia shinikizo la mudamrefu la kumtaka afanye hivyo au awajibishwe, kufuatia mapendekezo ya bunge lililopita, lililoiagiza Serikali kuchukua hatua dhidi ya viongozi wote na watendaji waliohusika na kashfa ya akaunti ya Tegeta Escrow iliyobainisha kiasi cha fedha bilioni 302 kucho...

UTEUZI WA KAMATI MBALIMBALI ZA JUMUIYA YA KCMC MUSLIM ASSOCIATION

Image
Uteuzi wa kamati mbalimbali ya jumuiya ya kcmc muslim association  bonyeza hapa kuangalia

Celebrating the Birthday of the Prophet

Image
Celebrating the Birthday of the Prophet book click here to download

MASJID SHEIKH AL ANSWAR

Image
ASSALAAM ALEYKUM WARAHMATULLAH WABARAKAATUH Natumahi ndugu zangu ktk imani ni wazima hapo mlipo poleni sana na majukuumu ALLAH awape nguvu katika kuyaendea. Sisi kama wanajumuiya ya wanafunzi wa kiislamu CHUO KIKUU CHA MWENGE tunayofuraha na majivuno ya kuwepo kwa nyumba ya ALLAH (msikiti) hapa chuoni ambayo jitihada kubwa ya kusimama kwake imetokana na umoja na ushirikiano wa wanajumuiya wa hapa chuoni pia tukishirikiana kwa kiasi kikubwa na jumuiya ya vyuo mbalimbali kama KCMCo, MUCCobs, SMMUCO(All campus),n.k pamoja na misikiti mbalimbali hapa MOSHI manispaa na wilaya zingine pamoja na waislamu. Mkurugenzi wa AFRICAN MUSLIM AGENCY, alitusaidie sana pia ktk kuliendea hili suala kutokea mwanzo mpaka msikiti unasimama,,, Picha zitaonesha ktk kiambatanisho tokea harakati kuanza hadi hivi sasakukamilika kwake''' Dhumuni kubwa la kutuma email ni kutoa shukrani kwani mnamo tarehe 30/11/2014 jumapili asubuhi tuliweza kufanyaa uzinduzi wa msikiti huu(MASJID SHEI...

AJALI MBAYA YA BASI YATOKEA KAHAMA

Image
AJALI MBAYA YA BASI YATOKEA KAHAMA  Hivi ndiyo basi la wibonela lilivyoacha  njia mjini kahama huku ikiwa imelala ubavu             KAHAMA. Watu wanne wamekufa papo hapo na wengine arobaini kujeruhiwa wilayani Kahama mkoani Shinyanga baada ya kutokea ajari mbaya iliyohusha basi la abiri. Tukioa hilo lilitokea jana majira ya saa Kumi na mbili asubuhi katika eneo la Phantom Nje Kidogo mwa mji wa Kahama,wakati basi aina ya Scania lenye no T 412 CGN mali ya Wibonela Ambalo lilikuwa likitokea mjini Kahama kwenda jijini Dar es Salaam kuacha njia na kupinduka. Kwa mjibu wa Mganga Mfawidhiwa Hospitali ya mji wa Kahama Joseph Ngowi alisema walikufa kati yao wanaume ni 3 akiwemo mtoto na mwamke ni Mmoja ambapo aliataja kuwa ni Amina Emmanuel ambaye alikuwa mjamzito mkazi wa Kigoma, Salum ambaye alifahamika kwa jina moja , Mtoto wa miezi mitatu Robin Jordan na mwanamme mmoja mabaye hakufahamika. Aliataja waliojeruhiwa ni Mauld Shab...

SHEREHE YA KUWAKARIBISHA MWAKA WA KWANZA KMA 2014/2015

Image
JUMUIYA YA WAISLAM MKOA WA KILIMANJARO (KMA) INAYOFURAHA KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WOTE WA MWAKA WA KWANZA KATIKA JUMUIYA YETU KWA MOYO MMOJA..... TUNAWAPONGEZA KWA KUJA KWENYE SHEREHE NA KATIKA JUMUIYA YETU HONGERENI KWA KUCHAGULIWA KATIKA JUMUIYA YETU